Na Moreen Rojas Dodoma. Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na uratibuĀ George Simbachawene amezindua mpango shirikishi wa taifa wa kuzuia na kukabiliana na kipindupindu kuanzia mwaka 2023_2027. Waziri Simbachawene amehimiza Wizara ya afya kuhakikisha inafanyia kazi tetesi za ugonjwa na wagonjwa kufuatilia haraka ili kukabiliana na ugonjwa huo haswa maeneo yenye kupata
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed